SMS ZA MAHABA MAZITO.

Furaha yangu ni kuwa nawe kwani u zaid ya mboni yangu,najcfu kuwa nawe maishani mwangu naamini itatokea kutokuwa mbali nawe mpz wangu,unisahaulishe machungu na karaha za huu ulimwengu .nakupnd dr



. . . × × × . . .
. Hivi ni lini utanipa nipate farijika mpenzi nimechoka na hadithi kila siku unazonipa ipo siku penzi utanipa, mwenzio nataabika na hamu iliyotukuka, nitafurahi ukinipa nipate liwazika, naomba uhakika kama kweli wikiendi utanipa, Nakupenda 



•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
. Mahaba unayonipa hakika nafarijika, mpenzi niliyemtaka hakika nimekupata, kiu yangu wajua kuikata, kuwa nawe hakika nimeukata kwani wajua kunipa bata! Luv u, mwaah   

Alicia Keys Just Dropped $20M On This State-Of-The-Art Mansion ...

Post a Comment

Previous Post Next Post