LOVE SMS

 



I feel something in my heart,,,it's like little flame,,,every time I see you,,,this flame lights up,,,this flame is special for you,,,because I LOVE YOU.......!!!        

                &-----<>-----<>-----<>-----<>-----<>-----&


Mapenzi ni safari~unifanye ni nauli yako...!!!

Mapenzi ni maradhi~unifanye daktari nikutibu maradhi yako...!!!

Mapenzi ni kiu~ niwe maji jagwani nikupoze koo lako....!!!

Mapenzi ni kama chakula~unile maishani mwako.....!!!

Mapenzi ni kama asali~niwe radha mdomoni kwako.....!!!

Hakika mimi ni wako,,,ondoa shaka moyoni mwako.....!!!!

NAKUPENDA LAAZIZ WANGU...............

                 &~~*~~*~~*~~*~~*~~*~~*~~*~~&


I"m feeling so happy. Do u know why? Coz i*m so lucky, Do u know how? Coz God loves me, Do u know how? Coz have gave me a gift, Do u know what? It*s you my love...I LOVE YOU mwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa....................!!!!!!!

               *%~~~%~~~%~~~%~~~%~~~%~~~%*


Mapenzi c pombe lakini yanalewesha,,,wala c dawa lakini yanaponyesha,,,wala c maradhi lakini yanaua,,,wala c kifo lakini yanaliza,,,wala c katuni lakini yanafulaisha,,,wala c fimbo lakina yanaumiza. Ni mimi tu mwenye mapenzi ya kweli kwako.....!!! NAKUPENDA LAAZIZ WANGU.

                $*~~~*~~~*~~~*~~~*~~~*~~~*$

Post a Comment

Previous Post Next Post