mtakie mpenzi wako siku nema ya kuzaliwa kwa sms hizi

 *Mapenzi ni nini? Wale wasiopenda huita majukumu, wale wanaoyachezea huita mchezo, wale wasiokuwa nayo huita ndoto, na wale wanaoelewa huyaita mwisho wa safari, na mimi, mwisho wangu ni wewe. hbd mpenzi wangu

''''''''''''''''''''''

*Niliulizwa juu ya kanuni ya ‘Nyutoni’ na nikasema kuwa sijui. Nikaulizwa ni nani Rais wa sasa wa Marekani lakini sikuwa na uhakika kama ni Clinton au Obama

Lakini nilipoulizwa kuwa ni nani ninayempenda, jibu pekee nililolifikiria ni wewe.

mungu akujalie maisha malefu

'''''''''''''''''''''''''''''''







Post a Comment

Previous Post Next Post