KABLA HUJA LALA FANYA UZICHEKI HIZI SMS

 


Mpenzi wangu kukutana nawe ilikuwa ni bahati, kukuchagua kuwa rafiki yangu ilikuwa ni maamuzi yangu, lakini kuanguka kwenye penzi lako haikuwa hiyari yangu. Umeniteka moyo na akili yangu pia.


 Usiku wa leo uwe ni wenye faraja kwako, utawaliwe na usingizi wa mahaba kwenye kope zako, 
naomba ujenge taswira yangu katika mawazo yako, Usisahau kuniota sweet wangu. USIKU                   MWEMA



Post a Comment

Previous Post Next Post