usiku mwema mpenzi wangu

 •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•

ulikuwa mwanzo mgumu sana kwangu ,lkn moyo nikajipa na kukuweka wazi kuwa nakupenda!
Sikuamini ulivyonikubalia na kunikaribisha moyoni mwako ,nakupenda sana dear ,usiku mwema laaziz wangu!
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
 
ajua kazi za kutwa nzima leo zitakuwa zimekuchosha sana mpenzi wangu,pumzisha akili yako na mwili wako kwa ajili ya kufanya kazi tena kesho.pole sana dear!nakutakia usiku mwema




Post a Comment

Previous Post Next Post