Mahaba plus ..sms

 Mpenzi kila tunapokuwa chumbani huwa napenda kuwa mbunifu, 

huwa najitahidi kuepuka udhaifu, ili 

mapenzi yangu yasikukifu, ENDELEA KUFURAHIA MAPENZI YANGU. 

Mchana mwema

        *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*


Wewe ni wapekee ninaekupenda, sifikirii kukusaliti na wala 

sina wazo la kukutenda, nakuomba 

tuendelee kupendana siku zote habbity wangu

         *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*


Mapenzi ni matamu napia yana raha, wewe hauni ishi hamu, 

siku zote wanipa raha, wewe kwangu ni mtu 

muhimu, unaeng’aa moyoni mwangu kama nyota ya jaha. 

“NAKUOMBA USINIACHE MPENZI WANgu

       *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*






Post a Comment

Previous Post Next Post