๐๐๐leo nataka nikufundishe mwari mahaba matamu yanayomgandisha mume ๐๐๐๐๐ katika maisha yako ya ndoa lazima uwe mbunifu upo nyonyo....????๐๐ tafuta kawa lako na sinia kubwa kiasi na upepeo wako....na mswala wako....๐๐๐safisha nyumba au chumba chako...fukiza udi chukua kanga zako nyeupe zifukize udi vizuuri funga mlango wako anza mapishi sasa ๐๐pika chakula anachokipenda bwana kuwa makini unapopika hakikisha kinakuwa kizuri ๐๐zingatia muda wa bwana kurudi ili ale chakula cha moto ๐๐๐๐๐๐๐๐ ukimaliza andaa sinia lako ๐ weka bakuli la maji ya kunawa na jagi lake, kisahani wekea sabuni ya kunawia mikono na kitaulo cha kufutia mikono๐๐๐ vikombe 2 na sahani bakuli inategemea chakula ulichopika utaandaa trey weka jagi la maji ya kunywa na glass 2....hahahaha ....patamu hapo ๐๐๐๐ tandika mswala wako bibi weka sinia lako lifunike vizuuri na jawa lako lenye ujumbe wa maneno.....๐ weka vitu vyako vyote...... ukimaliza hakikisha ukiingia ndani hutoki mpaka bwana aje ๐๐๐๐๐๐ nenda kaoge mama vizuuri ukimaliza jipambe kidogo...jitie maa aluudi yako na parfum zako unukie haswaa kiuno kina shanga....๐
chukua chetezo tia udi wako jifunge kanga yako moja tuu jeupe upande mwengine muwekee bwana, chuchumaa jifukize udi
๐๐๐ ukimaliza kaa umsubiri bwana ๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐mwandae bwana akaoge akirudi chumbani mfute maji mvalishe kanga yake mfukize udi muweke kwenye mswala mwambie karibu mume wangu chakula ๐๐mnawishe mikono you unamuangalia usoni kwa jicho la mahaba chukua tonge mlishe na yeye atakulisha mpe maneno matamu ๐๐๐๐๐ hayo ndio mahaba ya pwani upo nyonyo?????
ุฅุฑุณุงู ุชุนููู