sms nzuri kwa mpenzi.

                                     .·•*•·.·°¯`·.·• 

Nimezunguka pande zote za Tanzania machonikiyaangaza kumsaka mrembowakumkabidhi wangu moyo wenye upendondani yake na kulila TUNDA lakekwa nafasi huku nikimpa mahaba ya dhati na sikuwahi kuhisi kama wewe ndiyeulie uteka moyo wangu. nakupenda laaziz

•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• 

Raha ya ucngz ni ucngz . . . .”tamu”ya penzi ni ndoto . Na furaha ya ndoto ni yule umpendaye kwa dhati,nitafurahi nikiwa mimi,• 



Post a Comment

أحدث أقدم