SMS NZURI ZA MAPENZI MUBASHARA

 Leo ni zaidi ya mwezi toka tumeyaanza yetu

mapenzi na kila kukicha nakuota kwenye njozi

ukinipa majambozi na huishi uchokozi, sijui

lini nitaacha hizi njozi kwa kunipa laivu lako

penzi, nakupenda mpenzi

~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~

Sijui nini chakukukwambia furaha moyoni kila

saa yanijia tangu ulivyoniambia mimba ndiyo

ishaingia hivyo mtoto nikaye nikimtarajia,

nakupenda dear hakika wewe pekee ndiye

wangu malkia!

~~~~~~~~~~~~~~~~~~~




Post a Comment

Previous Post Next Post