Ni ngumu kwa watu wawili kupendana wanapoishi Dunia

tofauti, lakini Dunia hizo zikutanapo na kuwa kitu kimoja,
hiyo ndiyo maana ya kuitwa wewe na mimi.
        *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*

Watu husema kwamba, awapo mtu mmoja tu akupendaye, maisha
hayajapoteza maana, kwa hiyo, ukijihisi mpweke hauhitaji
kuishi nikumbuke mimi.
       *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
Watu waliniambia ninaweza kufanya chochote kama tu
nitaweka mawazo yangu juu ya hicho kitu. Lakini kila
nikijitahidi unaipoteza akili yangu
*°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*




Post a Comment

أحدث أقدم