Nakukumbuka sana my love

 “Umbali si shari ila kujua hali ni mali”,

“jambo la wema ni asali ukimya ni ajali”,
“japo nipo mbali thamani yako kwangu ni kama medali”
I LOVE U
……………………………….

Nakupenda sana P tafadhari usinikasirikie,
nimekukumbuka nahitaji kukuona unipoze moyo wangu,
njooo mwandani wangu

nakusubiri daktari wangu.



Post a Comment

Previous Post Next Post