HAYA SASA SMS MPYA KALI ZA MAPENZI


Wengine waliachana wakati bado wanakupenda, wengine waliachana sikuchache baada ya kuchokana, wengine waliachana walipopata pesa, wengine waliachana walipopata wapenzi wapya..naomba nikutoe wasiwasi kuwa siwezi kukucha hata nipewe mamlaka ya kuogoza dunia nzima.

******

Mapenzi mazuri yanasifa zifuatazo, kuridhishana, kupeana bila kubaniana, kubusiana, kusaheshimiana, kujaliana, kusubiriana, kusikilizana.Je, utaweza kujifanyia yote hayo? Nijibu mpenzi...

Post a Comment

Previous Post Next Post