Si vibaya kupendana mimi na wewe.

 Moyo wangu umehifadhi hisia zako, nakuahidi kamwe sintopunguza upendo kwako, tunza sms hii ya ahadi kwenye simu yako, iwe kumbukumbu kila uisomapo! “NAKUPENDA MALAIKA WANGU”

        *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*

Si vibaya mimi kukusifia kwani wewe ni wangu, nivingi umejaaliwa, vinavyouvutia moyo wangu, amahakika uzuri wako umedhibiti matamanio yangu “SINTOMPENDAMWINGINE ZAIDI YAKO”



Post a Comment

أحدث أقدم