Nisamehe mpenzi wangu sikutalajia kukosea.

 Naomba upokee zawadi hii ya kiwembe. Amini ndicho kilichotumika kufanyia operation kwakupasuliwa moyo wangu, kwa sababu nimeoza kwa ajili yako,nimeambiwa ili nipone maradhi haya nipate:-                             

              (1)ushirikiano wako

             (2)furaha yako

             (3)upendo wako,    

              (4)tabasam yako.

Je! uko tayari kuokoa maisha yangu?

 *************

Nina huzuni moyoni sijui kwa kuwa siku hizi sikuoni, naishia kukuota ndotoni,hivi kweli nipo kwako moyoni? Nakupenda

 *************

Hakika sikutaraji kulikosa lako penzi, wataka kuniacha kuniacha ningali nakuhitaji, mpenzi tambua nahitaji yakohifadhi na niko radhi kukupeleka hadi kwa wangu wazazi,amini kwenda kwa mwingine sihitaji. Nakupenda.





Post a Comment

Previous Post Next Post