Usiku mwema dear.

 


Kila kilicho ""MOYONI"" si rahisi kukitoa,Akuthaminie Hukuona ""GHALI"",akukumbukae juwa amekuhifadhi ""MOYONI"" na ""AKUNPENDAE"" Hachoki Kukuombea ""MEMA ucku  mwema  hny.

 "UPENDO" ni kawaida yangu "CHUKI" SI busara kwangu, "KUISHI"  Na watu vizuri ni sehemu ya maisha yangu, kuwasalimu niwapendao ni hulka yangu.. Gd9t

Post a Comment

Previous Post Next Post