SMS Za Nguvu Za Kutumia Baada Ya Kupewa Namba Na Mwanamke

*Kama unayempenda amekutumia meseji akikuambia ya kuwa amekumiss, ama alitamani ungekuwa katika mkutano flani ambao hukuwepo ungemjibu hivi:

Najua napendeka. Bila shaka najua pia mimi ningejimiss kama sikujiona katika huo mkutano 🙂

*Ukigundua kama mwanamke anakupenda halafu akakutext “hello, mambo vipi?” Unafaa kumjibu kwa kumthamini kujiona kama umempa kipao mbele. Waweza kumjibu hivi.

Hello mrembo. Nimetoka kwa mazoezi sahizi/gym…waweza kunipa muda kiasi nioge kabla sijarudi?





Post a Comment

Previous Post Next Post