Mapenzi ni matamu sana, fungua post zetu na uzisome kwa undani zaidi utajua ni kwanini nasema mapenzi ni matamu

 Mpenzi unawafahamu maadui wa mapenzi yetu ? Ni wale rafiki zako wanaokuletea maneno ya uongo, ndugu zako wanaotugombanisha na wachawi wanotuotea mabaya, tujihadhari tusiwape ushindi. Mapenzi yetu yadumu daima.

       *°·°  ♥  °·°*

Uchungu wa kifo hauna tofauti na maumivu nitakayoyapata ukiniachana, mpenzi usiniache nami siko tayari kukuacha 


Post a Comment

Previous Post Next Post