🍅🍅kwako niseme nini🍅🍅ambacho aujakisikia Toka kwangu honey

 

🍅🍅kwako niseme nini🍅🍅ambacho aujakisikia Toka kwangu honey🍎🍎🍎 please Baki na mimi🍅🍅wewe Ndio furaha yangu honey 🍎🍎
Nakupenda my dear 🍅🍅 kwenye moyo wangu ndani ndani umeingia🍎🍎ukiniacha mwenzio nitaumia🍎🍎ukinigomea uwa nataman hata kulia🍎🍎isije ikawa umenitaman tu ukapata utakacho ukanikimbia🍎🍎🍎🍎 naomba isiwe ivyo majonzi utaniachia🍎🍎utanipa pigo kiukweliiii nitajutia🍎🍎🍎
Najiuliza kwanini awali kwangu aukuepo🍎🍎🍎mateso niliyopitia duh mapenzi niyaona ya moto🍎🍎kwenye joto wewe napipepea nipate kaupepo🍎🍎ila awali kwenye joto Ndio nilipewa msoto🍎🍎Hila kwako Sasa penzi moto moto🍎🍎🍎Yani napendwa najiis kuw mtoto🍎🍎
🍎🍎mapenzi yangu chukua🍎🍎daima hayawezi kupungua🍎🍎kwako Kwa Raha napumua🍎🍎Yani mpenzi hakika kupenda wajua🍎🍎uko ambako nikiumizwa bahat yangu haikua🍎🍎kitandani wajua kunisugua🍎🍎Yani Hadi raaah mwili wangu wajua kuusisimua
🍎🍎wapi niende 🍎Haliyakua kwako nimetulie telee🍎🍎🍎Acha mtot w watu nikupende🍎🍎sitaruhusu hata siku Moja nikutende🍎🍎nakupenda bila kwele🍎🍎wanajisumbua kupiga makelele🍎🍎
Mimi na wewe hii ngoma mbele Kwa mbele🍎🍎🍎
Mwandishi ni Mimi
đź‘‘đź‘‘ King raizer đź‘‘đź‘‘
❤️❤️KING OF LOVES ❤️❤️
May be an image of 2 people, child, people kissing, people standing and text

Post a Comment

Previous Post Next Post