Leo ni siku yangu ya kuleza ukweli wa moyo wangu🌹🌹


🌹🌹MY DAY🌹🌹
Leo ni siku yangu ya kuleza ukweli wa moyo wangu🌹🌹Mimi ni binadamu🌹🌹nilie umbwa na hisia pia🌹🌹kama utais nakuvunjia Heshima utanisemeehe nimeshindwa kuvumilia🌹🌹hakika tangu naanza kuwa karibu yako 🌹🌹moyo wangu ulianza kuvutiwa🌹🌹


Ulitaman uwepo wako🌹🌹🌹niliamin kwako nitatulia🌹🌹 hakika Kila nikikaa peke yangu uwa nakufikilia🌹🌹narudia kusoma txt zako kichwan zajiliduia🌹🌹Yani nilipokufaham tu amani ya moyo ilinijia🌹🌹nikaona hapa Ndio Mahala pa nafsi yangu kutulia🌹🌹🌹Mahana unaujua ukweli wa maisha yangu Mahana nikikusimulia🌹🌹🌹hata wewe ulineleza maisha ukiyopitia🌹🌹hakika ni ya majonzi unaitaj 🌹🌹Kwa kukaa kutulia🌹🌹ulinipa nafasi ya urafiki🌹🌹Kwa Hilo nashukul pia

🌹🌹nikajikuta naanza gafla kukujali🌹🌹siku aiishi bila ya kukujulia hali🌹🌹nakaa na kutafakali🌹🌹ila Leo nimeona Bora nikueleze ukweli🌹🌹hakika mie mie mie mie dah 🌹🌹naisi utakua vizuli ila ngoja nivumilie nikuambie usijali🌹🌹

Hakika mwenzio Nina Nina dah jaman😔😔 ninakupenda 😔😔sio kiurafiki was maisha yangu siku ludi miaka nenda😔😔Wala sitakutenda😔😔najua unamajonzi mazito ila kwangu yatasalenda

🌹🌹huo Ndio ukweli wa moyo wangu 🌹🌹 nakupenda Wala sijilaumu🌹🌹sijakulupuka ilo fahamu🌹🌹nilifikilia mpaka nakufikishia Leo hii salamu🌹🌹hakika nitakupatia mapenzi matamu🌹🌹nipokeee hakika autaweza jilaumu🌹🌹daima na wewe nitadumu 🌹🌹 nipokeee my love
JE!!!😔😔Umenilizia au kwako Sina nafasi?
Mwandish ni Mimi
May be a black-and-white image of 2 people, child and text that says "DAY"

Post a Comment

Previous Post Next Post