UMESOMA HADITHI NYINGI ZA MAPENZI, LAKINI HII ITAKUSISIMUA KULIKO ZOTE, UTATUMIA DAKIKA 2 KUSOMA LAKINI

1st year
Baada ya leacture,alikuja kwangu na kuniomba notes za siku ya nyuma kwa sababu hakuweza kuingia darasani hiyo siku iliyopita.baada ya kumpa akasema “asante” na kushikana mikono na mimi.I wanted to tell her,i want her to know that i don’t want us to be just friends,i love her but i’m just to shy,and i don’t know why
2nd year
Simu yangu iliita,kupokea alikuwa yeye alikuwa akilia akinielezea jinsi gani boyfriend wake broke her heart,she asked me to come over because she didn’t want to be alone,kwa kuwa ni rafiki yangu kipenzi ilinibidi kwenda kumfariji,as i sat next to her on the sofa,nilikuwa nikimuangalia Machoni nikitamani awe wangu.Baada ya masaa mawili baada ya kuangalia nae movie mbili tatu na kula nae chakula pamoja akarudi katika hali yake ya kawaida,hivyo akaamua kwenda kulala,before akaniangalia na kuniambia “asante” na kunipa tabasamu tamu,i want to tell her to know that i don’t us to be just friends,i love her but i’m just too shy,and i dont know why.
3rd year
Siku moja kabla ya Tamasha la muziki chuoni alikuja kwenye meza yangu leacture room na kuniambia “Boyfriend wangu amepata udhuru hivyo naomba unipe campan katika tamasha la muziki leo usiku” kwa kuwa tuliwekeana promice kwamba ikitokea kila mmoja wetu amekosa mtu wa ku-date nae basi tutaenda pamoja just as “bestfriends”.hivyo tukaenda.
katika tamasha baada ya kila kitu kuisha na muziki kufungwa,nilikuwa nimekaa nje ya ukumbi nikimuangalia jinsi alivyokuwa akicheka na rafiki zake,she saw me looking to her she smiled at me,i want her to be mine lakini yeye alikuwa hafikirii hilo kabisa na nilikuwa nikilitambua hilo,then she said to me “nimekuwa na muda mzuri na wewe asante sana” and she gave me a sweet smile.I want to tell her to know that i don’t us to be just friends,i love her but i’m just too shy,and i dont know why.
Graduation Day
siku,wiki kisha mwezi ukapita ilikuwa ni mahafali yetu tukimaliza masomo ya chuo,akiinuka kwenda kutunukiwa shahada yake ya uchumi nilikuwa nikimuangalia akiwa amependeza sana siku ile,i wanted her to be mine,but she didn’t notice me like that,and i knew it.
kabla watu hawajatawanyika kwenda makwao,alikuja kwangu akiwa na vazi lake la mahafali,na kulia pale nilipomkumbatia akainua kichwa chake na kuniambia “you are my bestfriend asante sana” i want to tell her to know that i don’t us to be just friends,i love her but i’m just too shy,and i dont know why.
Miaka michache baadae
Nikiwa kanisani Yule Msichana akiwa anaolewa sasa,nilimuangalia akisema “ndiyo nakubali ” and drive off to new life,kaolewa na mwanaume mwingine,i wanted her to be mine,but she didn’t see me like that,and i knew it.
but before she drove away,alikuja kwangu na kusema “asante sana” and kissed me on the cheek.I want to tell her to know that i dont us to be just friends,i love her but i’m just too shy,and i dont know why.
Kwenye Mazishi

Post a Comment

Previous Post Next Post