Meseji za Mapenzi


Wewe ni mng’arao machoni mwangu;

Tabasamu la midomo yangu;

Furaha ya uso wangu;

Kwa sababu bila wewe, mimi sijatimia.

****

Last night I matched each star with a reason for loving you. I was doing great until I ran out of stars.

****

Mungu ni mwenye busara kwa kuwa hakubandika gharama yoyote juu yako mpenzi. Kama angelifanya hivyo, nisingeweza kuwa na uwezo wa kuwa na mpenzi wa thamani kama wewe.

****

Post a Comment

Previous Post Next Post