My Dear 💙💙💙

     

💙#My_dear 💙
❤️raha unipatiazo asili ya kitu gani💜
💓Utamu wa chacklet penzi unipatialo❣️
💟Au niseme ni keki kwa ladha niipatayo💖
💝Si pipi si biskuti zanichanganya rahazo💘
💗Wala sio biriani kwa yake mapocho pocho❤‍🩹
❤‍🔥Ni raha zisokifani napata kutoka kwako💞
💓Sibanduki abadani nikaacha huba zako❤️

✍️sina pakuelekea kwako wewe nimefika 👄
✍️kama ungekua jua niko radhi kuchomeka❣️


🫐Sina njia ya kukukwepa sion jinsi ya kukuepuka kama ni🍋 mkuki moyoni umeshanikita🍒
🍋Jicholangu sipepesi kuangalia wapili 🍍
Ni wewe pekee ulieniteka hisia na kili🫐
🍇Nandio maana na kupenda upendo wa kweli 🍉

🍒My love
My sweet baby 💓
♥️My heart wangu horny
Wanipagawisha kwa💝 mapenzi ya kipwani
Wanipagawisha hadi💝 naropokwa hadhani❤‍🔥
Nakupenda sana 💖
Love💔
Love💔
Baby wangu maishani🥰
May be an image of 1 person and text
All

Post a Comment

Previous Post Next Post