MESEJI ZA KUMTAKIA MPENZI WAKO USIKU MWEMA

 

Neno " USIKU MWEMA" halimaanish kuwa ni mwsho wa cku,
bali ni njia yakukuonyesha kuwa nakukumbuka kabla cjalala,
nadhan unatambua thamani yako kwangu, usikumwema
.....................
UPENDO si ndege ukaonekana angani,
UPENDO si tunda lichumwalo mtini,
UPENDO si wimbo ningekuimbia, UPENDO si vazi ningekushonea,
 UPENDO  si picha yangu ningekutumia bali
UPENDO ni thamani iliyoko moyoni mwangu.
nakupenda na nakutakia usku mwema.
....................................
 Hisia njema na nzuri ni pale  unapodhani nimekusahau
na kukutenga na ghafla ukapata  ujumbe wangu kuwa
ninakukumbuka,ninakujali na kukuombea, ucku mwema
 .....................................
. Nikisema
"-.-"    "m2 muhimu"
Namaanisha
M2 namthamini,
M2 namjali,
M2 nampenda,
M2 namheshim
M2 huyo  c mwingine ila ni ww ninayekutakia
 USIKU MWEMA.
................................
 "UPENDO" ni kawaida yangu
 "CHUKI" SI busara kwangu, "KUISHI"
Na watu vizuri ni sehemu ya maisha yangu,
kuwasalimu niwapendao ni hulka yangu.. Gd9t
........................
  Mimi si Milionea, ila TAJIRI
wa MOYO MKUNJUFU!
Mie si zaidi,
 ila nafanya NIWEZALO!
Sifanyi
sahihi kwa kila jambo,ila kwa hili
 nipo sahihi Kukutakia usiku mwema.
................................
Neno "USIKU MWEMA" halimaanishi kuwa ni MWISHO wa siku, bali ni njia ya kuonyesha kuwa nakukumbuka, nakujal, nakuthamin, nakupenda na kukuombea kabla SIJALALA! Nadhani utatambua una THAMANI gani kwangu!! ... Nakutakia USIKU MWEMA!na njozi nzuuuuuuri!! Lala xalama
.....................
 Usiku Ni "utulivu"
Usiku Ni "mzuri"
Usiku Ni"upole"
Usiku Ni "kimya"
Lakini Usiku
Haujakamilika
Bila..Kukutakia
Wewe..
U
S
I
K
U=m=w=e=m=a!
........................
Dah! Safari yetu ilikuwa ngumu kweli ila hatimaye tumefika japo ni usiku sana hebu tupige hodi tusije kabwa na vibaka hapa nje.
Hodiiiiii, Hodiiiii,
Tunaomba tufungulie Mlango,, sisi tunaitwa FURAHA, AMANI na UPENDO. Tumebeba HEKIMA, BUSARA na MAFANIKIO. Tulikuwa wengi  HURUMA na UPOLE wanakuja nyuma. CHUKI na WIVU hawana nauli. TABU ni mahututi. SHIDA yuko jela. MATATIZO amepigwa shoti ya umeme. MIKOSI amefariki njiani. LAANA ameliwa na mamba. UVIVU ameungua na maji ya moto hajiwezi.  Tutakuwa nawe daima maana tumefika kwa NEEMA . Mungu akulinde  na mabaya yote katika dunia hii. ucku mwema.
.........................
 Tunda gani liwe mfano wako? Hamna ! Ladha gani ishinde ukarimu wako? Hamna! Ni nani nimfananishe na wewe? Hakuna! najickia furaha kukutakia uck mwema
.........................



Nakupenda sana .Tafadhali nionyeshe mapenzi ya kweli kila mara na sio kwa msimu. Ningependa unishike kila mara, uniguse, unikumbatie kila wakati. Mimi ni msaada mkubwa sana kwako, nibusu popote utapokuwa nami usiniogope hakuna mtu wa kukushangaa,, nichukue hata ukiwa safarini sitalipa nauli. Kwani sina gharama kwako, hata kwenye mfuko wako wa nguo nitakaa. Nitumie kila unapojihisi upo mpweke sitaacha kukupa faraja, ni mimi mpenzio wa ukweli 'QUR-AN,,NAKUTAKIA,,RAMADHANI,,KAREEM,,USIKU,,MWEMA!!!!
..............................
kila kilicho ""MOYONI"" si rahisi kukitoa,Akuthaminie Hukuona ""GHALI"",akukumbukae juwa amekuhifadhi ""MOYONI"" na ""AKUNPENDAE"" Hachoki Kukuombea ""MEMA ucku  mwema  hny.
...............................
  >Nipo dukani nafikria nikununulie zawadi gani kubwa kuliko zote.      >Nimeona "UPENDO" inavutia,
  >pembeni nikaona tena "AMANI" inapendeza,                   >sijasogea nikaona "FURAHA" nikacheka nikabeba vyote,                 >nilipotaka kulipa mwenye duka kaniambia "MUNGU" keshanilipia, nami nimevituma kwako naomba uvipokee. Nakutakia ucku mwema!
.......................
Hongera umezawadiwa safari ya kwenda KULALA  iliyoandaliwa na shirika la USIKU na kudhaminiwa na kampuni ya USINGIZI utapanda gari aina ya KITANDA lenye namba za usajili NJOZI NJEMA ukiwa safarini unashauriwa kufunga mkanda aina ya NETI au SHUKA ili kujikinga na AJALI ya   MALARIA.Pia usikose kupulizia dawa.
........................
Kutokana na kipaji changu cha kutabiri, nayaona yafuatayo kwako:
1. Umeshika simu yako ya mkononi.
2. Unasoma hii habari.
3. Wewe ni binadamu hai kabisa.
4. Huna jeuri ya kusema neno PIPI bila kufungua mdomo.
5. Ha ha ha nakuona umejaribu kusema neno PIPI.
7. Unajicheka mwenyewe.
8. Nimeona meno yako.
9. Unatabasamu!
10. Umeruka namba 6.
11. Ha ha ha ha unacheki kama kuna namba 6.
12. Umetabasamu!

....Nilipe gharama ya utabiri .UCK MWEMA

Post a Comment

Previous Post Next Post