SMS TAMU ZA MCHANA MWEMA.


SMS – Page 3 – My Blog
(‘-‘) Unatabasamu
(!.!) Unalia
(‘;’) Una hasira
(‘:’) Kuna mtu amekuboa
(‘.’) Unajivunia
(‘o’) Una hasira
(‘?’) Umechanganyikiwa
(-.-) Unasikia usngz
Napenda kukupa company ukiwa vyovyote🙂
Mchana mwema
———————————————————-
Natumaini utakuwa na siku nzuri kama ulivyo mzuri.
Mchana Mwema
—————————————————————
Mchana ni muda mzuri….
wa kukumbuka watu wazuri
mchana mwema.
————————————
Urafiki ni kama hewa,
Haionekani lakini ipo siku zote,
Mchana mwema rafiki yangu!

Post a Comment

Previous Post Next Post