i love you

 


Mpenzi unawafahamu maadui wa mapenzi yetu ? Ni wale rafiki 
zako wanaokuletea maneno ya uongo, ndugu zako 
wanaotugombanisha na wachawi wanotuotea mabaya, 
tujihadhari tusiwape ushindi. Mapenzi yetu yadumu daima.


♥Watu wanao pendana daima hukumbukana!!! Na salamu 
kusalimiana!!! Afya njema kutakiana!!! Huruma 
huoneana!!! Kwenye shida husaidiana!!! Makosa 
husameheana!!! Katika dhiki huvumiliana!!! Kila 
jambo zur hupeana!!! Maneno mazur yaliyo jaa upendo 
huambiana!!! Ushaur mwema hushauriana na njia 
za mafanikio huonyeshana!!! Mbele ya madui hulindana!!!nai 
ni mmoja katia ya wakupendao,hakika ni 
mm wa kwanza kwanza wengine wanafata♥

Post a Comment

Previous Post Next Post