Nisamehe mpenzi kwa (sms) hizi

-Japo umeniuzi sina budi kukupa hizi pongezi,sijui umejifunza wapi mapenzi, hakika kwakomi ni mfungwa wa mapenzi! Nakupenzampenzi nitunziye langu penzi!,,

-Hakika sikutaraji kulikosa lako penzi, watakakuniacha kuniacha ningali nakuhitaji, mpenzitambua nahitaji yako hifadhi na niko radhikukupeleka hadi kwa wangu wazazi, aminikwenda kwa mwingine sihitaji. Nakupenda.,



Post a Comment

Previous Post Next Post