SMS nzuri za kumtumia mpenzi wako ili akupende daima

 



Mtoto unajua kutabasamu maana kila nikiitazama picha yako napatwa na hamu ya …., natamani kama ningekuwa ufukweni tukila upepepo mtamu huku tukipeana maneno matamu, kisha mzuka ukipanda tukatoane hamu au unasemaje?

Wangu kipenzi ninayekuenzi, jua wanitia uchizi na kuninyima usingizi, sijui kama una kizizi au ni mapenzi ndiyo yaninyima huo usingizi, la azizi nimekumiss kichizi, u hali gani mpenzi?

Post a Comment

Previous Post Next Post