SMS TAMU ZA MAHABA KUMTUMIA MPENZI WAKO.

  Si vibaya mimi kukusifia kwani wewe ni wangu, nivingi 


umejaaliwa, vinavyouvutia moyo wangu, ama 

hakika uzuri wako umedhibiti matamanio yangu “SINTOMPENDA 

MWINGINE ZAIDI YAKO” 

        *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*


Thamani ya Mapenzi yako nikubwa kwangu, haifanani 

nachochote kwenye huu ulimwengu, sina budi 

kumshukuru mungu, kwa kunijaalia mpenzi mwema unaejali 

hisia zangu, USICHOKE KUNIPENDA MPENZI

        *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*


Mpenzi kila tunapokuwa chumbani huwa napenda kuwa mbunifu, 

huwa najitahidi kuepuka udhaifu, ili 

mapenzi yangu yasikukifu, ENDELEA KUFURAHIA MAPENZI YANGU. 

Mchana mwema

        *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*


Wewe ni wapekee ninaekupenda, sifikirii kukusaliti na wala 

sina wazo la kukutenda, nakuomba 

tuendelee kupendana siku zote habbity wangu


Post a Comment

Previous Post Next Post