SMS TAMU ZA USIKU MWEMA

 Mimi si Milionea, ila TAJIRI 

wa MOYO MKUNJUFU! 
Mie si zaidi, 
 ila nafanya NIWEZALO! 
Sifanyi 
sahihi kwa kila jambo,ila kwa hili 
 nipo sahihi Kukutakia usiku mwema. 
………………………….. 

kila kilicho “”MOYONI”” si rahisi kukitoa,Akuthaminie Hukuona “”GHALI””,akukumbukae juwa amekuhifadhi “”MOYONI”” na “”AKUNPENDAE”” Hachoki Kukuombea “”MEMA ucku  mwema  hny. 






Post a Comment

Previous Post Next Post