SMS ZA KUOMBA radhi kwa mpenzi

 unajua nakupenda ila tu umeamua kunitenda rudisha moyo nyuma kasha twende sambamba mapenzi yanavyokwenda.

•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.

Nakiri kweli nimekukosea naomba wako msamaha kwa yote yaliyotokea hakika nimekukwaza

lakini kwa hakika hii ni mara yangu ya kwanza naamini,naamini utanisamehe laaziz

na kunipa nafasi ya kulienzi lako 

·••·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•




Post a Comment

Previous Post Next Post