SMS ZA KUOMBA MSAMAHAA KWA MPENZI NAKUOMBA KURUDIANA


Hivi kweli haya ndiyo mapenzi ama naota

njozi? Nimefanya kila naloweza kuliimarisha

letu penzi lakini naishia kuambulia majonzi,

nimekuwa mtu wa kububujikwa na machozi

kwa sababu ya lako penzi, kama nimekukosea

tafadhali niwie radhi mpenzi, nakupenda na

amini wewe pekee ndiye uliyetimiza ndoto

yangu ya mapenzi.

___________________________________

Hivi ni kosa gani nilililokutendea ambalo

sipaswi kusamehewa? Ni kweli nilikosea

nahitaji kusamehewa mpenzi, plz naombanielewe kwani sina mwingine zaidi yako

wewe. Luv u

________________


Post a Comment

أحدث أقدم