UWE NA USKU MWEMA MY (SMS)


 Uzuri wa usiku si giza lifunikalo dunia wala si kimya kinachotawala mazingira bali ni njozi njema zenye maono na matarajio yenye mafanikio. Nakutakia ucku mwema

 

*°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*

Kama jicho langu halija kuona basi moyoni daima nakukumbuka na ikiwa dua zangu hazijakulinda basi mungu daima

atakulinda,nami cna budi kukutakia usiku mwema.

*°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*

 

Upendo ni tiba maradhi hukimbia. Salamu ni shiba biriani yazidiwa. Kukumbukana ni haiba nuru hutuangazia. Kwa furaha na mahaba sichoki kusalimia. Usiku mwema

 

•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•

Salio la macho yako halitoshi kuendelea kuona kwa sasa tafadhali tandika kitanda na ulale,kwa maelezo zaidi subiri usingizi ukolee uote ndoto nzuri. usiku mwema!

•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•

Post a Comment

Previous Post Next Post