CHOZI_LA HUBA... ❤️

❤️  

💞BADO nakupenda wewe tu sitajali itakuwaje lakn kiu yangu nikuwa nawewe tu nimekupenda kweli nielewe mpnz wangu 💞

💞 Katika vipindi vyote ntabaki kuwa mtu mmoja niliewahi kukupenda kuliko mtu yeyote Yule kwasabab Nimekuwa mtu mwema mbele yako bila kujali Wala kuyafkilia mapungufu uliyonayo 💞

💞Nimejitahidi kufanya kitu Ili unipende lakn bado haujaridhia kuwa na Mimi labda sijajua moyowako unapenda nn ? 💞

💞Nifanye nn nikupe nini nikuambie Nini  ili uwe wangu na mm niwe wako penzini 💞

💞 NAKUPENDA Sana Hadi Kuna Muda nahisi ntachizika kwasababu  akili yangu na fikra zangu umezitawala wewe tu  💞

💞Naomba unikubalie mpnz 😰 sinalengo baya na wewe lakn nahitaj KUWA na wewe katika shida na Raha ntahakikisha nakupa furaha wakati wote 💞

💞 Wakati wote nimekuwa na ndoto ya kujA Kuna nawewe na kukupenda sijaanza leo Wala Jana siku zote huwa nalitaja jina lako kwahisia 💞

💞 Hata Kama hunipendi kwel fanya kuigiza kdgo tu ili nisiwe na maumivu Sana moyoni pia nisiwe mtu wa aibu mbele ya mtu yeyote 💞

💞 Nijidai kuwa nawewe nifurahie kuwa naww niinjoy nawewe kwakuwa Raha yangu niwewe 💞

💞Sina shida kamilifu moyoni mwangu zaiid ya kukupenda tu 💞

💞 Sina mapenzi ya utapeli kwako ntakaaa nikikupenda nakuahidi kwingne sitakwenda 💞

💞Ntazidi kuifurahia ulimwengu wa mahaba endapo utakubali kuutuliza moyo wangu💞

💞 Nitakuwa salama wakati wote kwasabab kiu yangu itakuwa imekwisha kufanikisha kuwa na ww 💞

💞 Unajua NAKUPENDA Sana sema wewe TU hutaki kuniamini 💞

💞 I love you ♥️ ilove you 🥰 ilove you 💛

By JAMES KING 

NJOO MESSENGER KUIPATA HII 🙏🙏

Post a Comment

Previous Post Next Post