NISAMEHE MPENZI WANGU

 Japo umeniuzi sina budi kukupa hizi pongezi,

sijui umejifunza wapi mapenzi, hakika kwako

mi ni mfungwa wa mapenzi! Nakupenza

mpenzi nitunziye langu penzi!

_______________________________________

Hakika sikutaraji kulikosa lako penzi, wataka

kuniacha kuniacha ningali nakuhitaji, mpenzi

tambua nahitaji yako hifadhi na niko radhi

kukupeleka hadi kwa wangu wazazi, amini

kwenda kwa mwingine sihitaji. Nakupenda.




Post a Comment

أحدث أقدم