my love

 Mapenzi ni matamu napia yana raha, wewe hauni ishi hamu, 

siku zote wanipa raha, wewe kwangu ni mtu 
muhimu, unaeng’aa moyoni mwangu kama nyota ya jaha. 
“NAKUOMBA USINIACHE MPENZI WANgu
       *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*

Pokea sms yangu iliyojaa utamu, nimeipamba kwa maneno 
laini yenye ladha adimu, utamu wake ni kama 
apple haufanani na ndimu, nimeituma kwako sms hii ikuletee 
salamu “UHALI GANI MPENZI?”





Post a Comment

Previous Post Next Post