Usiku mwema my love,,,sms

 Ni usiku tulivu wenye hali ya hewa saafi na usingizi  wa amani ukishika hatamu kuzisafirisha fikra za binadamu katika  ndoto! najua umechoka na pilikapilika za mchana ,jua na makelele na kila aina ya mwingiliano wa sauti ,ni wasaa mzuri sasa

wakupumzisha mwili na akili yako.amua kumsamehe aliyekuudhi mchana wa leo na pia kumbuka ulipokosea leo ili kesho

usirudie,lakini pia jipongeze kwa mafanikio ya mipango yako,fumba macho uikaribie nchi usiyoijua.usiku mwema

•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•

lala ulale vyema na upoe moyo wako,lala ulale salama utulie roho yako,lala usingizi mwema upumzishe akili yako,akujalie

karima zitimie njozi  zako.usiku mwema



Post a Comment

Previous Post Next Post