sms za kutongoza kwa kiswahili

 Nenda sms taratibu kwa yule ma BEST nimpendaye,ukimkuta 

amelala ucmuamshe mpige busu kisha mnong'oneze mwambie 

nampenda sanaaaa

Nilivyokutana nawe cku ya kwanza nilikupenda kwa dhati 

,nikakueleza ukweli ukanikaribisha moyoni mwako,cwezi 

kuchezea nafac hyo laaziz nitakushika daima.


•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• 

Je unakubali au unakataa kwa mujibu wa sheria ya mahakama 

ya mapenzi kifungu cha mahaba unahukumiwa kuwa na mimi 

milele,unaweza kukata rufaa kama hujatendewa haki.sawa?





Post a Comment

Previous Post Next Post