Sina maneno ya kukufanya ujisikie vizuri; Lakini nina mikono ya kukukumbatia; na moyo unaopenda kukuona ukitabasamu tena.
Samahani kwa kutabasamu kila wakati uko karibu. Samahani macho yangu yanapepesa kila unapokuwa hapa. Samahani sura yako ipo moyoni mwangu . Samahani nakupenda siwezi kukusahau.
Post a Comment