Nimekuchagua wewe mpenzi:

- Sina haja ya mahala peponi kwa sababu nimekupata wewe. Sina haja na ndoto kwa sababu niko na wewe.

- Kama kuna kitu chochote nilifanya vizuri maishani mwangu ilikuwa ni wakati mimi nilikupea moyo wangu. 




Post a Comment

Previous Post Next Post