Mchana mwema

   Salamu ni moyo ktk “IMANI”. Salamu ni uhai ktk “UPENDO”. Salamu ni ufunguo wa “RIZIKI” salamu ni chakula cha “NAFSI” salamu ni “MSAMAHA” wa kudumu milele. Salamu ni kinga ya maradhi” salamu huondosha “UADUI” Hakika salamu ni”UTAKASO” wa “NAFSI”. Nami nakupa wewe niliyekutunuku. *****MCHANA MWEMA!*****

…………………

 Nimepanda gari la “KUKUPENDA” Nimefika kituo cha “KUKUWEKA” (moyoni)  Ghafla nikapata ajali mbaya ya kuwa mbali “NAWE”, Nimelazwa hospital ya “KUKUMISS” (100%)  Nimeandikiwa sindano za “KUKUWAZA” / kila saa,,,  Nimetundikiwa dripu ya “UAMINIFU” na nimepewa dawa za kunizuia kumpenda “MWINGINE” zaidi yako!



Post a Comment

Previous Post Next Post