Mpenzi upendo 🌿nilionao kwako🌾 unasukumwa na...

 Mpenzi upendo

🌿nilionao kwako🌾 unasukumwa na 💕hisia, kukupa mapenzi❣️ ya kweli nafsini 🍃nimejitolea, tulizo la mawazo😇 yangu kwa sifa na kumwagia, kwa mahaba 🌷ya tashititi nipe, nipetipeti, moyo🍒 upate kutulia, 🥀hakika umeumbika 🍄na ilo umbo Mwenyezi Mungu kakushushia, 🍎nipe yote honey usijekunibania,🦋 si unajua mimi kwako kama maji💦 ya mtungi tulii nimetulia...
Write by jumamerikyori@
No.0715945207
May be an image of 2 people, child, people standing and body of water

Post a Comment

Previous Post Next Post