Sms tamu za usiku mwema



❤️❤️SMS TAMU ZA❤️ KUMTAKIA USIKU MWEMA MPENZI WAKO ...
Mimi si Milionea, ila TAJIRI
wa MOYO MKUNJUFU!
Mie si zaidi,
ila nafanya NIWEZALO!
Sifanyi
sahihi kwa kila jambo,ila kwa hili
nipo sahihi Kukutakia usiku mwema.
…………………………..
Neno “USIKU MWEMA” halimaanishi kuwa ni MWISHO wa siku, bali ni njia ya kuonyesha kuwa nakukumbuka, nakujal, nakuthamin, nakupenda na kukuombea kabla SIJALALA! Nadhani utatambua una THAMANI gani kwangu!! … Nakutakia USIKU MWEMA!na njozi nzuuuuuuri!! Lala xalama

Post a Comment

أحدث أقدم