ujumbe kwa mpenzi kumtakia asubuhi njema

http://2.bp.blogspot.com/-gZHWcENET_A/Tz2rt0Y9KSI/AAAAAAAAAX8/0DQaHhCkFU8/s400/couple+red+top.jpg?width=650
Ucku umepita, asubuhi imefika Unapotafakari mema ya Mungu ya siku nzuri ya leo:

Wasamehe waliokukosea, Wapende wanaokuchukia! Wakumbuke waliokusahau na Uilinde Amani ya MOYO wako isipotee, ASUBUHI NJEMA. 






Neno "ASUBUHI NJEMA" ni dogo sana lakini huwezi kulipata kwa asiye kujali, kukukumbuka na kukupenda, lakini mimi naona umuhimu wa kukutakia
"ASUBUHI NJEMA. JE, UMEAMKA SALAMA? si lazima ujibu kwa meseji! hata ukitabasamu na kutikisa kichwa tu inatosha! Asubuhi njema.

Post a Comment

أحدث أقدم