MESEJI NZURI ZA MAPENZI KWA UMPENDAYE KWA DHATI'



Kuna miezi 12 katika mwaka…siku 30 katika mwezi…siku 7 katika wiki, masaa 24 katika siku…dakika 60 katika saa……lakini wewe ni mmoja tu maishani mwangu.

****

I asked God for a rose and He gave me a garden. I asked God for a drop of water and He gave me an ocean. I asked God for an angel and He gave me you!

****

Kuna vitu viwili zinavyoniamsha asubuhi na mapema: Alamu ya saa yangu na wewe

*****

I will walk with you side by side for only one condition: hide your wings every time we walk together because the whole world might know that you're my angel!

****

Bongo zenye fikra kali huwa na mawazo, suluhu na sababu; ubongo wa kisayansi huwa na kanuni, nadharia na takwimu; wangu una wewe tu!

****



Post a Comment

Previous Post Next Post