SMS KALI ZA MAPENZI.

 Si vibaya mimi kukusifia kwani wewe ni wangu, nivingi

umejaaliwa, vinavyouvutia moyo wangu, ama
hakika uzuri wako umedhibiti matamanio yangu “SINTOMPENDA
MWINGINE ZAIDI YAKO”
*°·.¸¸.° ♥ °·.¸¸.°*
Thamani ya Mapenzi yako nikubwa kwangu, haifanani
nachochote kwenye huu ulimwengu, sina budi
kumshukuru mungu, kwa kunijaalia mpenzi mwema unaejali
hisia zangu, USICHOKE KUNIPENDA MPENZI
*°·.¸¸.° ♥ °·.¸¸.°*
Mpenzi kila tunapokuwa chumbani huwa napenda kuwa mbunifu,
huwa najitahidi kuepuka udhaifu, ili
mapenzi yangu yasikukifu, ENDELEA KUFURAHIA MAPENZI YANGU.
Mchana mwema
*°·.¸¸.° ♥ °·.¸¸.°*



Post a Comment

أحدث أقدم