MAPENZI MUBASHARA

 



Ukweli lazima nikwambiye kwa kuwa sina

kimbilio nakupenda kijana mwenzio sijui

kwanini hutaki kukisikia changu kilio,

namwomba Mungu kila kukicha usikiye changu

kilio, nakupenda na kama kukueleza hili

nakukosea nisamehe kwani si langu

kusudio,luv u mwaah.


 Nakupenda dear, amini moyoni umeniingia

ndiyo maana mimba nikaamua kukubebea

pasipo kunioa hakika mahaba yako yanifanya

nijione malkia katika hii dunia! Nakupenda


 Hakika mtoto umeumbika mithili ya malaika

japo mbinguni sijafika lakini nauhakika kwa

kila mwanaume aliyeumbika na kukamilika

akikuona lazima udenda utamtoka, naomba

japo yako dakika nipate kukueleza moyoni

yaliyonifika kwani siwezi tena kuficha jinsi

navyokupenda, nakupenda amini kwako

nimefika!

Post a Comment

Previous Post Next Post