mchana mwema.

 Naitaji kuku enzi na si nikutoe machozi,

sababu we ndo wangu kipenZ,
na sina mwengine lahazz.
…………………………
wee wangu wa huba,mwenye tabasamu la mahaba,
hakika n/penda, kwa mwengine sito kwendaaa….!!!
………………………
Nashndwa kulala haja ya moyo wng
naijua machoz hayansh homa ya mapenzi naugua
……………………………..
Usiku wa leo uwe ni wenye faraja kwako,
utawaliwe na

usingizi wa mahaba kwenye kope zako,
naomba

ujenge taswira yangu katika mawazo yako,
Usisahau kuniota
sweet wangu. USIKU MWEMA



Post a Comment

Previous Post Next Post