UJUMBE WA MAPENZI WA KUMTAKIA USIKU MWEMA


NISEME nini ili ujue kamanakupenda? Nifanye nini ili utambue kama nakupenda?Nikuite jina gani ili ujue uko peke yako moyoni mwangu? Hakika hakuna ila moyo wangu ndio unaosema kuwa nakupenda, niaminimpenz!
 
NALIA ukiwa mbali, nachukia nisipo kuona, najuta ninapokuudhi, naumia unaponitenga, nateseka ukiwa kimya, nafulahi ukinikumbuka. Nakupenda mpenzi, niondolea jaka moyo.






Post a Comment

Previous Post Next Post