SMS MUBASHARA KWA MAHABUBA WAKO

   moyo wangu saafi kama upole wa tausi  wingi wa baridi kama maji ya mtungi ,yote ni kutokana na mapenzi unayonipatia.

...................

  Mapenz hayana msimu wala majira isipokuwa ni kama majani yaotayo popote kwani siyo mimi ni msukumo na hisia zangu. Nakupenda sana

....................


Post a Comment

Previous Post Next Post