SMS ZA KUSISIMUA



Hakuna mtu aliyewahi kuwa karibu nami na akanifanya nijiskie raha kama unavyonifanya nijiskie.

Sikuwahi kujua kuwa unaweza kummiss mtu hata kabla hajaondoka, mpaka nilipokujua wewe ndio nikaamini.

Moyo wangu unasisimka ninapokuwa nawe.


Post a Comment

Previous Post Next Post